Events

Mbeya

June 02, 2026

Misa ya shukrani ya miaka 50 ya St Hildegard Joseph mwakasumba iliyomfanyika katika Parokia ya Watakatifu Petro na Paulo Tukuyu. Misa hiyo imeadhimishwa na Mhashamu Gervas Nyaisonga - Askofu mkuu wa jimbo kuu la Mbeya akisaidiana na Askofu msaidizi Godfrey Mwasekaga.